top of page
Sikiliza Habari Njema Radio

MADANGANYO YA SIKU ZA MWISHO
Makala za Mizani ya Haki

JE YESU ALIKUJA KWA ISRAELI PEKEE?
Hoja inayohusiana na mipaka ya utume wa Bwana “Yesu” ni miongoni wa hoja tata sana katika mchakato wa kidini kipindi cha leo. Maandiko kadhaa ya Kibiblia yanaonekana kutoeleweka na watu wengi na hivyo kutojua haswa msingi wa ujio wa Bwana Yesu kama ulilenga mataifa yote au Israeli pekee.
Machapisho ya Hivi Karibuni
bottom of page